UTEUZI WA WANAFUNZI VYUO VYA AFYA


[3.MB]KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++
TANGAZO
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
[3.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++
TANGAZO

MATOKEO YA AWALI KWA
WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA VYUO VYA
AFYA
1. Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)
linapenda kuwaarifu wote walioomba kujiunga na
kozi mbalimbali za afya kwa ngazi ya Cheti
(Astashahada) na Diploma (Stashahada) kupitia
Mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS) kuwa, Uteuzi
wa awali umefanyika na waombaji 9306 kati ya
21228 wameteuliwa kujiunga na vyuo
mbalimbali. Matokeo ya uteuzi huo yanapatikana
katika kurasa binafsi (Profiles) za waombaji.
2. Waombaji wote ambao wamechaguliwa katika
awamu hii wanapaswa kuthibitisha kuwa
wataripoti katika vyuo walivyopangiwa na
mwisho wa kuthibitidha ni Ijumaa tarehe 16
Oktoba 2015. Iwapo muombaji hatathibitisha,
nafasi hiyo itatolewa kwa mwingine. Kuweza
kuthibitisha bonyeza hapa
3. Kwa wale ambao bado hawajapangiwa vyuo,
kurasa binafsi zenu zina maelezo yenye sababu
za kutopangiwa chuo katika awamu hii na
maelekezo ambayo unatakiwa kuyatekeleza ili
mfumo utakapochakata uteuzi wa awamu
nyingine siku ya Jumatatu 19 Oktoba 2015 idadi
kubwa zaidi ya waombaji iweze kupangiwa vyuo
kwani hadi sasa nafasi zipatazo 11566
hazijajazwa.
Imetolewa na:
Katibu Mtendaji
Baraza la Taifa la Elimu yaUfundi (NACTE)
27 Septemba 2015

TANGAZO
KUJUA STYLE TAMU ZA KUMKUNA MSICHANA AKAKUPENDA DAIMA ASIKUSALITI BONYEZA HAPA CHINI

TANGAZO

0 maoni: