Kama ilikupita hii ya Shabiki wa soka kumuua mwenzake kisa Messi na Ronaldo


[3.MB]KWA WAKUBWA TU ,KUANGALIA VIDEO YAO WAKIBANDUANA CHUMBANI BONYEZA HAPA CHINI 18++
TANGAZO
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
[3.MB]DON'T WATCH THIS IF YOU ARE MARRIED BECOUSE THIS WOMAN WILL MAKE YOU DIVORCE YOUR WIFE!! FOR ADULT VIDEOS ONLY PRESS BELOW 19++
TANGAZO

Imekuwa kawaida kwa watu kubishana kuhusu wachezaji bora wa Dunia ambao wote wamewahi kushinda tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon d’Or kwa zaidi ya mara mojaLionel Messi na Cristiano Ronaldo kuwa yupi ni bora zaidi ya mwenzie.
Hii mada ambayo mara nyingi haijawahi kupatiwa majibu yaani kwa upande fulani, kuridhika na kukiri kuwa fulani ni bora hususani kwa mashabiki wa pande zote mbili, stori kubwa March 7 iliyoingia kwenye headlines ni kuhusu kifo cha jamaa aliyekuwa anabishana kuhusu Ronaldo na Messi nani bora.
885-cristiano-ronaldo-fighting-with-lionel-messi
Obina Durumchukwu mwenye umri wa miaka 34 ameuawa na mnigeria mwenzake,Michael Chukwuma mwenye umri wa miaka 21 kwa kuchomwa na chupa iliyopasuka, kisa ni kubishana nae kuwa nani bora kati ya Messi na Ronaldo. Mabishano hayo yalitokea Mumbai India wakiwa katika party
.
TANGAZO
KUJUA STYLE TAMU ZA KUMKUNA MSICHANA AKAKUPENDA DAIMA ASIKUSALITI BONYEZA HAPA CHINI

TANGAZO

0 maoni: